Thursday, 2 March 2017

ZIFAHAMU AINA ZA UYOGA NA UMUHIMU WAKE.

  1. UYOGA MWEUPE:Huu  ni uyoga ambao kazi yake kubwa ni kusaidia kupunguza uzito na na pia husaidia kuzuia kansa ya tezi dume  kwa wanaume.Uyoga mweupe una
    wanga(sukari) maalumu ambayo huweza kusawaza kiwango cha sukari mwilini,hivyo ni mhimu kwa wale wenye ugonjwa wa kisukaripia. Hujumuisha uyoga jamii ya button , cremini and the Portobello. 
    uyoga wa botton
  2. Shiitake:Huweza kupambana na kuponya uvimbe wa kila aina uyga huu una kemikali iitwayo lentinan ambayo hupambana na visababishi vyote vya uvimbe,wajapani wameanza kuitumia katika matibabu ya kansa. 
    shhitake
  3. Reishi:Uyoga huu huweza kupambana na kwa kiasi kikubwa sana na bacteria ,virusi na kuvuau fangasi.pia uyoga huu huweza kwa kuzuia kutokea kwa kansa kwa kiasi kikubwa sana.Uyoga una kemikali iitwayo gandodermic acid ambayo huweza kupunguza na hatimaye kuondoa mafuta mabaya mwilini na kurekebisha shinikizo la damu mwilini.
    uyoga wa reishi
  4. Maitake:Hufahamika kwa umaarufu wake wa kuzuia na kuponya kansa ya matiti kwa akinamama ambayo huchochea skinga mwili na kusababisha kuuwawa kwa seli za kansa..
    uyoga wa maitake.
  5. Oysters:Utafiti unaonyesha aina hii ya uyoga huweza kuongeza CD4 kwa kiwango kikubwa na pia huweza kupambana na virusi ya ukimwi na kuvipunguza nguvu kwa kiwango kikubwa  sana.
    uyoga wa mamama
  6. Chanterelle::husaidia kupambana na virusi,fangasi na bacteria. pia una kiwango cha hali ya juu cha vitamini C ,D na madini ya potasiamu.
    uyoga wa chantellene.
  7. Porcini:Uyoga huu huweza kuzuia uvimbe na kutokea kama kansa na majipu kwa sababu ya kemikali iitwayo ergosterol ambayo huweza kuziharibu seli zote ziletazo madhara pamoja na kuua wadudu wanaoshambulia seli za mwili.
    uyga wa posini
  8. Shimeji:Uyoga huu ni mahususi kwa kupambana na asthma,uvimbe,uyoga huu una kemikali aina ya beta-glucans ambayo kwa mujibu wa taasisi ya kansa ya japani.( Japan National Cancer Institute of kemikali hii imesaidia kuondoa vimbe zilizosababishwa na kansa.Pia uyoga huu husaidia watu wenye kisukari,na alegi mbalimbali.
    uyoga aina ya shimeji.

No comments:

Post a Comment