Monday, 9 April 2018

USICHOKIJUA KUHUSU TANGAWIZI.


VIINI LISHE VYA TANGAWIZI.
Tangawizi huw na virutubisho mhimu sana kwa afya ya mwanadamu.Pia ina chemikali mhimu sana zinazofahamika kama gingerol ambayo ni mhimu kwa kuondoa uwezekano wa uvimbe na pia kuwa mahusiano na faida nyingine kiafya.
Katika gramu100 za tangawizi mbichi inaweza kuwa na virutubisho vifuatavyo :
  • Kaloli (nguvu) 80
  • Gramu 17.8  za wanga.
  • Gramu1.8 za protini
  • Gram 0.7 za mafuta.
  • Gramu 2 za nyuzi nyuzi(mhimu kwa umeng’enyaji)
  • Miligramu 415 za Potasiamu.
  • Miligramu 0.2 za madini ya shaba mwilini.
  • Miligramu 0.2 Manganizi 
  • Miligramu 43 magnesium
  • Miligramu 5 vitamini C
  • Miligramu 0.2 Vitamini B 6 
  • Miligramu 0.7 niacini
  • Miligramu 34 phosphorus
  • Miligramu 0.6 za madini ya chuma.
Kwa nyongeza ya viini lishe vilivyorodheshwa hapo juu tangawizi pia huwa na kiasi kidogo cha madini ya Kalciam, zinki,Pantotheniki asidi, riboflavini na thiamin.
Je huwa hutumii tangawizi? Basi anza sasa.
0655333432

No comments:

Post a Comment